Thursday, 8 May 2014

INNA LLAHI WA INAILAIKA RAJIUN

Posted by mkachu  |  Tagged as:

683 wahukumiwa kifo nchini Misri.

Jali alipokuwa anatoa hukumu, jamaa na familia za watuhumiwa walikuwa nje
 ya mahakama tayari kupokea hukumu dhidi ya wapendwa wao


Jali alipokuwa anatoa hukumu, jamaa na familia za watuhumiwa walikuwa nje ya mahakama tayari kupokea hukumu dhidi ya wapendwa wao

 


Mahakama nchini Misri hii leo imetoa hukumu ya kifo kwa watu wanaoshukiwa kuwa wanachama wa vuguvugu la Muslim Brotherhood.


Polisi walilazimika kuweza kizuizi hiki ili kuzuia watu kuingia upande wa mahakama. Serikali tangu hapo imekuwa ikiwasaka watu wanaoshukiwa kuwa wanachama wa Muslim Botherhood ambao rais wao aliondolewa mamlakani na jeshi

Habari na U Chambuzi

    Author

    CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...

    Subscribe to our Mailing List

    We'll never share your Email address.
    +255 (762) 118-805 mohamedwaziri295@gmail.com