Waziri wa mambo ya nje wa Syria, Walid Muallem, ametoa tisho la
kujiondoa kwenye mazungumzo ikiwa hakuna hatua zitakazokuwa zimefikiwa
Jumamosi
Mamilioni ya watu wameachwa bila makao kutokana na vita nchini Syria
Waakilishi wa serikali ya Syria katika mazungumzo ya amani kati ya
wanaharakati na serikali, wametishia kuondoka kwenye mazungumzo hayo ya
amani ikiwa mazungumzo muhimu hayatakuwa yameanza ifikapo Jumamosi.
Waziri wa mambo ya nje wa Syria, Walid Muallem, ametoa tisho la
kujiondoa kwenye mazungumzo baada ya kukutana na mjumbe maalum wa UN
nchini Syria Lakhdar Brahimi.
Bwana Brahimi anatarajiwa kukutana na upande wa upinzani baadaye Ijumaa.
Duru zinasema kuwa mazungumzo yamekumbwa na changamoto hasa kwa kuwa pande zote mbili zina misimamo mikali.
Mgogoro wa kisiasa nchini Syria, umesababisha vifo vya watu 100,000 kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa.
Ghasia hizo pia zimesababisha watu milioni 9.5
kutoroka makwao, na kusababisha hali mbaya ya kibinadamu ndani ya Syria
na katika nchi jirani.
Hii ni siku ya tatu ya mazungumzo mjini Geneva lakini mkutano wa kwanza rasmi ambapo mazungumzo yanaanza.
Kulikuwa na matumaini ya mkutano wa ana kwa ana
kati ya serikali na wanaharakati, lakini baadaye bwana Brahimi alifanya
mazungumzo na kila upande.
Pande hizo zinalaumiana kwa changamoto hiyo.
Friday, 24 January 2014
Browse: Home
» Syria yatishia kujiondoa Geneva
Syria yatishia kujiondoa Geneva
Posted by mkachu |  Tagged as:
Habari na U Chambuzi
HALI YA HEWA
TANGAZANASI
MTANDAO WA KIJAMII
ZILIZO SOMWA ZAIDI
-
Baadhi hutengeza maji ya sharubati kwa kuichanganya na matunda Baadhi wanaamini kuwa Kondo la nyuma huwa na madini mengi ambayo hayapaswi...
-
Mwili wa marehemu Nughu Lugata ulivyokutwa Mguu wa marehemu Nughu Lugata ukiwa umekatwa. MAREHEMU Nughu Lugata ambaye ni albino ameuawa...
-
eshi la Marekani limefanya shambulizi la makombora dhidi ya mtu anayeshukiwa kuwa mmoja wa viongozi wa al-Shabaab nchini Somalia. ...
-
Baadhi ya wanawake wanakunywa maji ya Kondo la Nyuma saa chache baada ya kujifungua Hugeuka kuwa uchafu pindi mama anapojifungua , sasa ...
-
Wanaume wengi wanapofikia hatua ya kuoa si kwamba wanakurupuka tu na kuoa mwanamke yeyote mwenye sura nzuri, bali huchukua muda wao mw...
-
Baadhi ya wahamiaji waliookolewa Jeshi la wanamaji nchini Italia , limepata maiti 30 katika mashua ya uvuvi a...
-
Mahabusu wa Gereza Kuu la Mkoa wa Arusha, kaskazini mwa Tanzania, Jumanne walisababisha vurugu katika viwanja vya Mahakama ya Hakimu Mkazi...
-
Waziri wa mambo ya nje wa Syria, Walid Muallem, ametoa tisho la kujiondoa kwenye mazungumzo ikiwa hakuna hatua zitakazokuwa zimefikiwa Jum...
-
Wanafunzi walitawanywa kwa kutumia gesi ya kutoa machozi Wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Kenya wamezua vurugu wakipinga mpango wa se...
-
Timu ya Tanzania Taifa Stars Michuano ya soka kuwania Tiketi ya kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa barani Afrika hapo mwakani nchini...
MITANDAO YA KIJAMII
TAFUTA HABARI ZILIZO SOMWA NYUMA
Pages
WALIO TEMBELEA
Powered by Blogger.
TANGAZA NASI
kwama Matangazo wasiliana nasi kupitia anuani zifuataz
Email:
mohamedwaziri295@gmail.com
mohamedwaziri21@yahoo.com
contact us:
0762118805
0658118804
info@islamicnews.blogspot.com
Wote mnakalibishwa
Email:
mohamedwaziri295@gmail.com
mohamedwaziri21@yahoo.com
contact us:
0762118805
0658118804
info@islamicnews.blogspot.com
Wote mnakalibishwa
Total Pageviews
Labels
DOWNLOAD QASWIDA
islamic
islami news
Social Icons
islamic
Author
CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...
Facebook
Twitter
RSS