Tuesday 20 May 2014

TZ yapambana na Homa ya Dengue

Posted by mkachu  |  Tagged as:

  
 



Tanzania imesema inapambana na mlipuko wa homa ya dengue iliyozuka mapema mwaka huu.
Watu watatu mpaka sasa wameripotiwa kufa na takriban wengine mia nne wanashukiwa kuwa na dalili za ugonjwa huo.
Dalili za ugonjwa huo pia zimeonekana katika nchi jirani za Msumbiji na Kenya. Aboubakar Famau anatuarifu zaidi kutoka Dar es Salaam.

Habari na U Chambuzi

Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...

Subscribe to our Mailing List

We'll never share your Email address.
+255 (762) 118-805 mohamedwaziri295@gmail.com