Tuesday 6 May 2014

MARKAZ MISS BAHUL HUDA IMEANZISHWA MNAMO MWAKA 2005

Posted by mkachu  |  Tagged as:



Madrasa hii ilianzishwa mnamo mwaka 2005 ikiwakama madrasa ya nyumbani ikiwa ndani ya jiji la Mwanza katika kito ngoji cha Bugando jeshini  ndaniya wilaya ya nyamagana kwakipindi hicho chote madrasa hii ilkua chin ya mlezi MOHAMED WAZIRIM NA SHEKH WA MADRASA AKIWANI SHEKH AKIDA BIN NASIRI hawa ndio watu wakwanza kabisa kuanzisha madrasa hii kwakipindi kirefu madrasa hii ilika bila ya jina laaina yoyote

Habari na U Chambuzi

Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...

Subscribe to our Mailing List

We'll never share your Email address.
+255 (762) 118-805 mohamedwaziri295@gmail.com