Thursday, 6 February 2014

Taliban wajigamba na Mbwa wa Marekani

Posted by mkachu  |  Tagged as:

Kundi la wapiganaji wa Taleban limesema
 kuwa limemkamata Mbwa kutoka kwa wanajeshi
 wa Marekani Mashariki mwa Afghanistan.

 
Mbwa aliyekamatwa laikuwa anatumiwa 'na kikosi maalum
cha jeshi la Marekani nchini Afghanistan

 Picha waliyoiweka kwenye akaunti yao ya Twitter, inaonyesha Mbwa mdogo wa hudhurungi akiwa na kamba ndogo shingoni.

 Taliban wanasema kuwa Mbwa huyo kwa jina, 'Kanali' alikamatwa usiku wakati wa msako uliofanywa mwezi Disemba.

 Mbwa huyo alikuwa na tochi ndogo, kamera na kifaa cha GPS.


Pia walionyesha silaha walizonasa wakati wa msako huo, ambazo hutumiwa na kikosi maalum cha jeshi la Marekani.
Mwandishi wa BBC anasema kuwa kumekuwa na taarifa za kiongozi wa Taliban katika eneo hilo kuonekana akiwa na Mbwa huyo ambaye sasa ni mfungwa wa kivita.

Habari na U Chambuzi

    Author

    CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...

    Subscribe to our Mailing List

    We'll never share your Email address.
    +255 (762) 118-805 mohamedwaziri295@gmail.com