Kundi la wapiganaji wa Taleban limesema
kuwa limemkamata Mbwa kutoka kwa wanajeshi
wa Marekani Mashariki mwa Afghanistan.
Mbwa aliyekamatwa laikuwa anatumiwa 'na kikosi maalum
cha jeshi la Marekani nchini Afghanistan
Picha waliyoiweka kwenye akaunti yao ya Twitter, inaonyesha Mbwa mdogo wa hudhurungi akiwa na kamba ndogo shingoni.
Taliban wanasema kuwa Mbwa huyo kwa jina, 'Kanali' alikamatwa usiku wakati wa msako uliofanywa mwezi Disemba.
Mbwa huyo alikuwa na tochi ndogo, kamera na kifaa cha GPS.
Pia walionyesha silaha walizonasa wakati wa msako huo, ambazo hutumiwa na kikosi maalum cha jeshi la Marekani.
Mwandishi wa BBC anasema kuwa kumekuwa na
taarifa za kiongozi wa Taliban katika eneo hilo kuonekana akiwa na Mbwa
huyo ambaye sasa ni mfungwa wa kivita.
Thursday, 6 February 2014
Browse: Home
» Taliban wajigamba na Mbwa wa Marekani
Taliban wajigamba na Mbwa wa Marekani
Posted by mkachu |  Tagged as:
Habari na U Chambuzi
HALI YA HEWA
TANGAZANASI
MTANDAO WA KIJAMII
ZILIZO SOMWA ZAIDI
-
eshi la Marekani limefanya shambulizi la makombora dhidi ya mtu anayeshukiwa kuwa mmoja wa viongozi wa al-Shabaab nchini Somalia. ...
-
Wanaume wengi wanapofikia hatua ya kuoa si kwamba wanakurupuka tu na kuoa mwanamke yeyote mwenye sura nzuri, bali huchukua muda wao mw...
-
Baadhi ya wahamiaji waliookolewa Jeshi la wanamaji nchini Italia , limepata maiti 30 katika mashua ya uvuvi a...
-
Waziri wa mambo ya nje wa Syria, Walid Muallem, ametoa tisho la kujiondoa kwenye mazungumzo ikiwa hakuna hatua zitakazokuwa zimefikiwa Jum...
-
Baadhi hutengeza maji ya sharubati kwa kuichanganya na matunda Baadhi wanaamini kuwa Kondo la nyuma huwa na madini mengi ambayo hayapaswi...
-
Wanafunzi walitawanywa kwa kutumia gesi ya kutoa machozi Wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Kenya wamezua vurugu wakipinga mpango wa se...
-
Timu ya Tanzania Taifa Stars Michuano ya soka kuwania Tiketi ya kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa barani Afrika hapo mwakani nchini...
-
Ehud Olmert Mahakama moja nchini Israel imempa kifungo cha miaka sita jela aliyekuwa waziri mkuu nchini Israel Ehud Olmert kwa kosa la ...
-
Taarifa mpya zimeibuka kuhusu shambulizi lililofanywa dhidi ya kanisa moja katika eneo la kaskazini mashariki mwa Nigeria siku ya Jumap...
-
Milipuko mitatu imetikisa mji mkuu wa Misri, Cairo na kuwaua watu 5 huku zaidi ya tisini wakijeruhiwa. Mlipuko umetokea wakati wa ...
MITANDAO YA KIJAMII
TAFUTA HABARI ZILIZO SOMWA NYUMA
Pages
WALIO TEMBELEA
Powered by Blogger.
TANGAZA NASI
kwama Matangazo wasiliana nasi kupitia anuani zifuataz
Email:
mohamedwaziri295@gmail.com
mohamedwaziri21@yahoo.com
contact us:
0762118805
0658118804
info@islamicnews.blogspot.com
Wote mnakalibishwa
Email:
mohamedwaziri295@gmail.com
mohamedwaziri21@yahoo.com
contact us:
0762118805
0658118804
info@islamicnews.blogspot.com
Wote mnakalibishwa
Total Pageviews
Labels
DOWNLOAD QASWIDA
islamic
islami news
Social Icons
islamic
Blog Archive
Author
CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...
Facebook
Twitter
RSS